Steiermarkg Hd EQq1
Mahali pa Steiermark katika Austria
bendera ya Steiermark
Steiermark (Kislovenia: Štajerska) ni moja ya majimbo 9 ya kujitawala ya Austria lenye wakazi milioni 1,211 kwenye eneo la 16.392 km² (2013). Mji mkuu ni Graz. Waziri mkuu ni Franz Voves (SPÖ).
Jiografia[hariri | hariri chanzo]
Steiermark imepakana na majimbo ya Ujerumani ya Karinthia, Salzburg, Austria Juu, Austria Chini na Burgenland.
Miji mikubwa ni pamoja na Graz na Leoben.
Mur na Enns ni mito muhimu zaidi.
Picha za Steiermark[hariri | hariri chanzo]


Graz
mlima Dachstein

Gesäuse
Tovuti za Nje[hariri | hariri chanzo]
- Steiermark - Official Website (also in English)
| Makala hii kuhusu maeneo ya Austria bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Steiermark kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Steiermark
| Austria Chini (Niederösterreich) • Austria Juu (Oberösterreich) • Burgenland • Karinthia (Kärnten) • Salzburg • Steiermark • Tirol • Vienna (Wien) • Vorarlberg | |